MASWALI YA KUJIULIZA NA KUJIPIMA KATIKA UJASIRIAMALI
MASWALI YA KUJIULIZA NA KUJIPIMA:
1. Je, ninaweza kuongoza wengine?
2. Je, ni mpangaji mzuri wa mipango?
3. Unawachukuliaje watu wengine (uhusiano wako na wao)?
4. Je, unaweza kufanya vitu wewe mwenyewe?
5. Je, wewe ni mfanya kazi mzuri?
6. Je, una Uwezo wa kutoa maamuzi?
7. Watu wanaweza kuamini unachosema?
Maswali hayo na mengine mengi yanayofanana na hayo ukiweaza kuyajibu yataweza kukusaidia kufanya maamuzi yenye tija katika Ujasiriamali wako.
Usikose kusoma kitabu cha Siri Za Kufanikiwa Katika Ujasiriamali kupitia>>> https://simgazeti.dautechnology.co.tz/home/content/2954
Comments
Post a Comment